Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Breathe yako sumu ukiyawn asubuhi jogoo hudedi