Bena
@Bena
·
Ukiniomba pesa nikuambie sina, wacha makasiriko. Pia wewe huna. Check on that. ~Wallalo_siku_zote06
Reply
Sign in
to join the conversation.
Ukiniomba pesa nikuambie sina, wacha makasiriko. Pia wewe huna. Check on that. ~Wallalo_siku_zote06
Waingize chuom. Waingize maghettoni kwa baba na mama. ~Toronto boys
Wa kudumu atadumu. ~VJ Patelo
Origin: Eastlando
Goshodo ni wangu, Mumama ni wangu, na mali ni yangu. Sasa tufanye? ~VJ Patelo
Origin: Eastlando
Kama huwezi niongezea starehe,niachie yenye niko nayo. usiniharibie furaha. ~Slim Poppa
Mimi siwezi kununulia kredo, lakini naeza kubamba na naeza kuscratch. ~Sita Mbili
Usijinyime ati unasave. Chunga unaeza fikisha mita udedi. nani atakula? Nani atakulaaaa? ~Alvoski
Lazima kunyeshe ndio tujue mabati imetobokea wapi ~Kartelo