First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu
nasikia weni mweusi hadi una aribia makka fashion
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME