Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu