We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Uko mweusi mpaka kwa night class unashow meno ndio usimakiwe absent
Maskio yako kubwa ukiingia hoteli chai inapoa
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”