chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Asubuhi asubuhi koo na omena
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.