Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu
Una incisors ndefu adi ukisneeze unajichimba kifua