Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu