Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
nasikia weni mweusi hadi una aribia makka fashion
ATI budako ni mzee Hadi akona kaburi Kwa makende