We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch