ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Maskio yako kubwa ukiingia hoteli chai inapoa
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu