we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje
naskia UK on a gumbo sensitive ukikula mboco moja Una hara Mani ya beans
Unamdomo bigi we hukula avocado kama njugu