Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
We ni mwizi mpaka padlock ikikuona inajifunga
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Sistako mshort aneza temebea chini ya bed
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya