We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma