Kwenu muko wengi mpaka mathe hupika chapo mbili zingine anafanya photocopy ndio yeye na fathe wakule original
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao