We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport