Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.