Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Kwenyu mmesota sana wezi wakiingia wanatoka na experience tu
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakupea ya green ukasema nope ile imeiva
Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.