we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
Ati wee ni mnono mpaka ukikalia kiti inasema paxes
Ati phone yako ni ya zamoh,ukitumiwa sms unaishia kucollect kwa post office.
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.