ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Asubuhi asubuhi makaa na maji ya sukuma
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
Umekonda mbaya mkicheza birikicho unajifichanga Kwa sindano