ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka