Abdimajid Noor
@user2732
·
hojoo
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Nywele za watoto wenyu ni ngumu mpaka mnazitumianga kama steel wool
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
Kwenu nyi ni ma-miser mpaka price ya colgate ikipanda mnateta na hamna meno