Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk