Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Wewe ni fala unarewind CD na biro pen
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
were ni mfupi hadi unaendanga marathon ndani ya pekelle
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch