We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
ATI budako ni mzee Hadi akona kaburi Kwa makende
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
wewe ni mfupi hadi unabebanga fifty bob kama mabati.