Mchongoano
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
Origin:
Likes: 11
More..
uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.
Origin:
Likes: 9
More..
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Origin:
Likes: 8
More..
nyumba yenu imetengenezwa na matope.
Origin:
Likes: 4
More..
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
Origin:
Likes: 9
More..
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Origin:
Likes: 6
More..
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Origin:
Likes: 7
More..
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
Origin:
Likes: 5
More..
kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi
Origin:
Likes: 24
More..
wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako
Origin:
Likes: 11
More..