Mchongoano
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.
Origin:
Likes: 6
More..
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
Origin:
Likes: 9
More..
UKo na macho kubwa hadi wewe huitwa eye witness
Origin:
Likes: 11
More..
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Origin:
Likes: 5
More..
Ati umekonda mpaka we hutumia elastoplast badala ya always
Origin:
Likes: 8
More..
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Origin:
Likes: 11
More..
huyu mseee ana maskio kubwa,akiinuliwa juu!,anabebwa kaa trophy
Origin:
Likes: 9
More..
wewe ni msupa tu sana
Origin:
Likes: 12
More..
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar
Origin: kenya.
Likes: 7
More..
We ni mzee Hadi ukifanya 180 unahara bluband.
Origin:
Likes: 6
More..