Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Kwenu nyinyi ni wagesi mpaka coackroach zinademonstrate juu ya njaa
Ati wewe ni mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut
We mfupi mpaka unatoka kwa basi na parachute