Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.