Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
we ni mchoyo hadi unaflash.999.makarao
wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!
Ati umezoea kuokoa jahazi hadi safcom hukuuliza utahama lini?