We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
We ni mzee Hadi ukifanya 180 unahara bluband.
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
ATI we ni mkonde Hadi una miss mvua