We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
wewe ni mjinga… mpaka ulirepeat kunyonya.
Asubuhi asubuhi toast mayai na jasho ya makende
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa