Umeunga mpaka unatoanga ngozi ya miwa ka ndizi
chuo yenu ni farthest by the time unafika ni 2nd term!
auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
Asubuhi asubuhi mapera na maziwa ya nguruwe
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂