Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
We ni mweusi hadi mbu ikitaka kukuuma yo huitisha torch
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka