Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear
Kwenu ni kuchafu mpaka mende zenu huvaa slippers
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!