We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Umezoea kula mogoka hadi unaogopa kumeza mboga
We ni mnono hadi ukikunywa novida huwezi get lifted!
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣