UKo na macho kubwa hadi wewe huitwa eye witness
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva