We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
We m-ugly, ulipokuwa mtoi masako alikufeed na feya
nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt