Manzi wako ni mtall mpaka Mungu akiboeka anamsuka matuta
Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted