Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
aty shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt
Budako ni mjinga mpaka alipoingia kwa buu aliambia konda amshikie chuma ndio atoe pesa
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua