We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Nyinyi ni wadosi hadi dogi zenu zina dogi za kuzichunga.