Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
ati nyinyi wadosi mpaka mkienda ocha mnabeba nguo kwa flash disk
Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.