Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂