Ati wewe ni mweusi hadi huwezi kuwa na a BRIGHT idea.
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
Ulimeza cassette ya koffi ukanyamba ndombolo
Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂