kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
ati kwenu ni wafupi hadi mnadishi mkiwa chini ya meza
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
shosho yako ni mzee hadi wameandika kwa matiti no milk yes yoghurt