una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Asubuhi asubuhi goodygoody na makojo ya ngamia
We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga