Una matiti so mpaka we uzitupa kwa mgongo times za kuosha manguo
First time yako ku-buy ball gum shopkeeper alikugei ya green ukasema 'nataka ile imeiva'
Sistako mshort aneza temebea chini ya bed
Nyinyi kwenu ni wa black mkiingia kwa moti yenyu dirisha zinakuwa tinted
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack