First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Wewe ni mblack mpaka ukiwa karibu na makaa ya kuuza, customer anasema niwekee ile kubwa
Wewe ni fala mpaka uikiingia kwa KBS unapiga hodi na unatoa viatu
Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma