Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Mdomo kubwa kama bakuli ya jela
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.