Ati wewe ni kichwa ngumu hadi ulikataa kuzaliwa uchi!
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
Budako mugly mbaka anaishia home kutoka zoo na mandizi mob amegeiwa na matourist
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi
Ati mtoi wenu alizaliwa akiwa mblack mpaka doki akasema, ” Kameungua”.